muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,437
- 9,962
Hii hata kituoni polisi,sometimes wale Polisi wadogo,wanaonea sana, dawa kutaka kumuona Mkuu wa kituo tena ukisema kwa sauti wananywea.TMJ hospital Drive in cinema mwaka fulani yule dada (nesi) kakazana kuchat huku anacheka na simu yake wakati huo nina malaria inanitesa vibaya sana, aseee nilimwakia akajaribu kujibizana hapakutosha pale hadi wakuu wake walipokuja kuingilia kati