Umeshawahi kukabwa na jinamizi usiku ukiwa usingizini?

Umeshawahi kukabwa na jinamizi usiku ukiwa usingizini?

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,748
Reaction score
5,116
Kwa upande wangu nimekabwa sana na haya majinamizi nikiwa shule x Mufindi ndanindani asee mwili mzima unakufa ganzi nguvu zinakuiisha sitasahau hio shule niliamua nibadili hostel na kusali sana ndo shida ikaisha.
Wewe mdau umeshawahi kukabwa na jinamizi usiku ilikuaje😁?
 
Hakuna kitu Kinaitwa jinamizi..
Ulalaji mbaya( ambao hufanya ulimi kupunguza sehemu ya kupitisha hewa kuingia mwilini) Pia kujikunja sana kunakopelekea dam haisafiri vizuri hupelekea kupungiwa oxygen mwilini hivyo mwili huushiwa nguvu na Ubongo unapambana kutafuta mbinu ya kushtua mwili ili ushtuke uweze kupumua vizuri.


Hapo mara nyingi ubongo hutafuta matukio ya kutisha ili kukuamsha na ndo unachtuka unajikuta unaanza kuhema kwa haraka haraka ili kurudisha oxygen ilokuwa imepungua.
 
Unalala umejikunja kama paka damu haipiti vizuri miguu unakuta ganzi ubongo unatoa taarifa ya hatari kutengeneza ndoto mbaya ili ushtuke alafu wewe unasingizia jinamizi
Apn hua sijikunji kwenye kulala ila ilikuwa km naona kitu kinashuka kutoka juu ya paa kikifika tu mwili mzima unakufa ganzi
 
Hakuna Cha jinamizi ni mavyakula magumu mnayokula wakt wa kwenda kulala, wew unakula ugali kisado tena Dona na maharage alafu unaenda kulala unategemea nn
Apunguze kula kula kula ngano siošŸ˜„
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom