Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Yani hata screen shot ukipiga inadunda,haifai kitu!! Ni kubaya jamani kunatisha! Halafu ukiingia usizibe camera na kidole wanaweza kuchukua fingerprint,na pia nahisi idara za usalama karibia zote macho yao yapo kodo kule kupiga doria...japo hata hao madeveloper wao ni noma sana!
 
Leo nimetembelea huko deep web... dah kweli hapa duniani MWOGOPE SANA Mungu na technology
 
Yani hata screen shot ukipiga inadunda,haifai kitu!! Ni kubaya jamani kunatisha! Halafu ukiingia usizibe camera na kidole wanaweza kuchukua fingerprint,na pia nahisi idara za usalama karibia zote macho yao yapo kodo kule kupiga doria...japo hata hao madeveloper wao ni noma sana!
Aisee! Mkuu ww kweli umeingia labda uwape onyo!
 
Nitaingia tena nitaleta taarifa niliogopa kuzitowa kwa watu kwa mana nilikuwa nahofia ila kusema ukweli kule ni noma
 
umejitahidi sana mkuu.
Nafikiri next time utaelezea habari za Silk road.
Kuhusu browser ipo inayoingia huko iitwayo ONION BROWSER, inapatikana playstore.
Hakikisha una weledi wa kutosha kabla ya kuingia huko. Asante
Mfano mzee na namna ya kuingia huko.
 
Yaah huko kuna tisha sana unaweza kwenda na usirudi salama, yaani kule ni dunia nyingine, kuna jamaa anauza huko Nuclear Bomb anataka nimtumie advance billion 160, kwa njia ya Bitcoin, hapa nataka niende Nikaangalie mchakato bandarini nalipitisha hapo nione nitatoswa kodi how much na TRA.....
Umevuta madawa ya dark web?
 
Capture.PNG
Kwa kutumia simu ulifanyaje?
Nilitumia PC. Kwa simu sijawahi kujaribu. Labda kama wana app yao ila kwa PC lazima u-download browser ya TOR ndio utafika huko.
 
View attachment 681897
Nilitumia PC. Kwa simu sijawahi kujaribu. Labda kama wana app yao ila kwa PC lazima u-download browser ya TOR ndio utafika huko.
Kwa upande wa simu unahitaji application mbili.
Orbot - ku-establish vpn au bridge connection
Orfox - ku-browse

For starters unaweza kutembelea deepweblinks.org kupata baadhi ya links zilizopangiliwa katika different categories

Search engine kama duckduck to go etc
 
Back
Top Bottom