MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,229
ziba seal tape nyeusi..........!!!Eeheeè. Wengine hata pa kuzimia camera hatupaoni ngoja niweke nta au mshumaa na karatasi nyeusi
ziba seal tape nyeusi..........!!!Eeheeè. Wengine hata pa kuzimia camera hatupaoni ngoja niweke nta au mshumaa na karatasi nyeusi
Hahahaha,Wadukuzi Babaaaaa..............................!!!!
Hivi virusi wanatengenezwaje?kabisa mkuu virusi wapo tena wakutosha
wengine wanauza nyama za watu.............inatisha............!!!Yaah huko kuna tisha sana unaweza kwenda na usirudi salama, yaani kule ni dunia nyingine, kuna jamaa anauza huko Nuclear Bomb anataka nimtumie advance billion 160, kwa njia ya Bitcoin, hapa nataka niende Nikaangalie mchakato bandarini nalipitisha hapo nione nitatoswa kodi how much na TRA.....
Nimeichukua tayar iyo app unaitumiaje maana sioni chochoteYaah huko kuna tisha sana unaweza kwenda na usirudi salama, yaani kule ni dunia nyingine, kuna jamaa anauza huko Nuclear Bomb anataka nimtumie advance billion 160, kwa njia ya Bitcoin, hapa nataka niende Nikaangalie mchakato bandarini nalipitisha hapo nione nitatoswa kodi how much na TRA.....
Unataka uende kujionea mwenyewe? Mmmh watu matomasoNimeichukua tayar iyo app unaitumiaje maana sioni chochote
tuanajifunza kwa vitendoUnataka uende kujionea mwenyewe? Mmmh watu matomaso
Usisahau kutuletea mrejesho.tuanajifunza kwa vitendo
Hahaaaa nimecheke kinona.. inabidi na mimi nikajionee mwenyeweYaah huko kuna tisha sana unaweza kwenda na usirudi salama, yaani kule ni dunia nyingine, kuna jamaa anauza huko Nuclear Bomb anataka nimtumie advance billion 160, kwa njia ya Bitcoin, hapa nataka niende Nikaangalie mchakato bandarini nalipitisha hapo nione nitatoswa kodi how much na TRA.....
Yaah huko kuna tisha sana unaweza kwenda na usirudi salama, yaani kule ni dunia nyingine, kuna jamaa anauza huko Nuclear Bomb anataka nimtumie advance billion 160, kwa njia ya Bitcoin, hapa nataka niende Nikaangalie mchakato bandarini nalipitisha hapo nione nitatoswa kodi how much na TRA.....

Kwani canera tunaziba je? Kufunga jicho la camera ktk hii device yangu ama?ziba seal tape nyeusi..........!!!
haswa ni kuziba Jicho la Camera.......unajua Mkuu sasa hivi Tekinolojia imekuwa pana sana na kuna maujuzi humo balaa kwa ujumla kuwa kwenye Net ni kujiweka wazi.............!!!! Antivirus zenyewe siku hizi nao ni wadukuaji sasa tutaponea wapi......???Kwani canera tunaziba je? Kufunga jicho la camera ktk hii device yangu ama?
Ninachoogopa zaidi kuthubutu kuingia huko ni hili tisho la kukwaa virus. Hayo mengine ni ya kawaida tu.
Na hii tor browser unaweza idownload hata kwenye chromeUnatumia tor browser