Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

b32debbc721390c25d6131392f7a59fd.jpg


Thanks imefunguliwa tena coz ilikuwa buned like torrent sema developers wake wapo active zaidi ya FBI na CIA
 
interesting... so who developed these deep web and dark web,,i'll go there somedays
 
Yaah huko kuna tisha sana unaweza kwenda na usirudi salama, yaani kule ni dunia nyingine, kuna jamaa anauza huko Nuclear Bomb anataka nimtumie advance billion 160, kwa njia ya Bitcoin, hapa nataka niende Nikaangalie mchakato bandarini nalipitisha hapo nione nitatoswa kodi how much na TRA.....
muthenge kwelii wewe
 
Na hii tor browser unaweza idownload hata kwenye chrome

Sema sasa inaboa vibaya mno coz huko hamnaga story wala mapicha picha ya kuvutia kiufupi is not friendly like other search engine and i think is because huko most of people huko wapo kikazi zaidi .............!

Then unaingia page inaitwa silkroad where is one of the largest site for transaction kama ilivyo kwa alibaba au ebay,kikuu,
There you will find people selling
Illegal drugs
Weapons ambapo most of waasi hutumia that way to buy weapon

Also wanatoa mafunzo on how you can torture human as a punishment

Lakuni pia mbali na hayo it is good if used in good way coz if you do business there hakuna maswala ya kukatwa makodi kodi with banks during money transfer na TRA coz there inakulink one to one with the person
Na wanatumia BITCOIN as mode of money for transaction coz haiitaji central bank system like all other currency

Tutaendelea zaidi sorry now npo na kazi kidogo..............!
Mkuu endelea inaonkana unajua sana kuhusu hii ishu
 
Kwa ushauri tuu

"ukianza kutumia tor browser hakikisha account zako za gmail, Facebook haziko online"

Hakikisha unajua unachokitafuta kwenye dark web kwani kuna uwezekano mkubwa wa computer yako kutumika ku-extract cryptocurrency hivyo kuifanya kuwa slow.
 
kule illegal business kubwa zinafayika kama madawa ya kulevya,deal za mauaji viongozi wq serikal,kampuni,waandishi wa habari na kadhalika kwaiyo intelijensia kubwa dunia uwepo kuangalia na kukusanya data..kiufupi kule mkuu ni real deep yani
Hizo illegal zinamhusu nini anayeperuzi
 
Bado sijaelewa vizuri namna ya kuingia huko mkuu.. Nipe muongozo rahisi
*Tumia tor browser
*Strong VPN
*Km computer yako ina camera ifunike kwa kitu chochote ili mradi isiweze kuonesha au kukuchukua picha au video.
Mengineyo.
Ukiishangia usidownload kitu chochote usichokijua au ku click link yyte usioijua
Hizi ndizo dark web search engine km zilivyo google, bing, yahoo n.k
*Onion.City
*Onion.to
*Not Evil
 
Back
Top Bottom