gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,604
Tupe experience basihii mada iliwekwa hapa July 2016.niliposoma tu maelekezo toka kwa wachangiaji ya namna ya ku-access deep web,nikajipa ugangwe wa kujaribu kwenda kuchungulia yaliyomo kwenye hiyo "deep web".
nimeapa sitarudia tena kwenda kule.hatari sana.kiherehere changu cha kupenda kufatilia yasiyo kuhusu kimekoma kwa deep web.