Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

hii mada iliwekwa hapa July 2016.niliposoma tu maelekezo toka kwa wachangiaji ya namna ya ku-access deep web,nikajipa ugangwe wa kujaribu kwenda kuchungulia yaliyomo kwenye hiyo "deep web".

nimeapa sitarudia tena kwenda kule.hatari sana.kiherehere changu cha kupenda kufatilia yasiyo kuhusu kimekoma kwa deep web.
Tupe experience basi
 
Ukitaka kupata baadhi ya web sites za deep web tumia duckduckgo au download app ya tor katika google play ukifungua uta download tena app nyingine automatic ktk google fungua alafu andika duckduckgo itakuja alafu andika deepweb zitakuja baadhi ya sites huku zikiwa zimepangiliwa vizur zipo nyingi chagua sites unayoitaka ni raha sana ukiingia huko ila onyo kuwa makini na sites nyingine
Nilifika huko
 
Ukitaka kupata baadhi ya web sites za deep web tumia duckduckgo au download app ya tor katika google play ukifungua uta download tena app nyingine automatic ktk google fungua alafu andika duckduckgo itakuja alafu andika deepweb zitakuja baadhi ya sites huku zikiwa zimepangiliwa vizur zipo nyingi chagua sites unayoitaka ni raha sana ukiingia huko ila onyo kuwa makini na sites nyingine

Torch search engine vile vile ni nzuri
 
Nilijua hii inshu nilipocheki movie ya Dope, dogo alipotaka kusell drugs akampelekea jamaa mmoja mzungu mtaalam akawambia wauze thru dark web (deep web) ndio nikajua kumbe kuna ulimwengu mwengine wa Internet tofauti na huu tuliouzoea..
Yah kwenye movie inaonekana sana, nimeichek pia kwenye Quantico pale Perish alipokosa mtu yeyote wa kumwamini katika FBI akaamua kujielekeza huko kwenye dark web
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom