Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Habari naona watu wengi mnahangaika its just simple thing.... deep web unaweza itumia anytime sio lazima uwe na hizo browser na kuna many useful information


But pia kuna black market miaka ya 2011-2012 walifungua online black market ikiitwa silkroad online na huko watu walikuwa wakinunua bidha tofauti kama drugs... weapons... passports and visa... na other services lakini mwishowe FBI wakaifunga na nyengine ilifunguliwa ila 2014 ikafungwa

I heard kuna silk road online 3 now but bado haijafungwa... kuna sellers zaidi ya elfu 10 wanauza service na bidhaa in very black way.... vingine hasa ni illegal porns na other ujinga


So jamaa walitengeneza njia ya kuifikia hiyo site yao ikupitia tor browser ambayo haisave history ya unachofanya na pia ina vpn ndani yake so internet service provider na gov... wanakuwa wanashindwa kukupata muhusika kwa urahisi...
Well said brother but without tor browser ni vigumu ku access hize web page za .onion yaani haiwezekani
 
Actually hakuna kitu cha ajabu sana lakini uajabu wake ni pale kuwa watu wengi hawajatambua uwepo wa kitu kama hiko I mean uwepo wa Deep web, pili kuna link ambazo zina taarifa zinazo wahusu watu fulani tu hivyo wewe ukiingia huto elewa chochote. ndio maana unaona hakuna cha ajabu
kweli mkuu,nadhani hcho ndo kitu interesting kuhusu hyo web(deep web).ina mana watu wanaitumiia kwa ajili ya anonimity tu.
 
Nimetembelea huko nimekutana na site za ajabu kuna website moja nimekuta wanauza ID cards
mfano ni hii,
upload_2016-7-27_18-22-58.png


Kuna web nyingine wenyewe wanajinadi kuwa wanauza madawa kama heroine, cocaine na mengineyo
upload_2016-7-27_18-23-58.png


Kuna web nyingine nimeona imeandikwa "Fund the Islamic Struggle Anonymously" si nzuri kabisa maana nilichokiona nashindwa hata kuandika sijui kweli siui uongo, kiujumla huku sio kuzuri unapoingia kuwa makini aiseeeh unaweza tapeliwa.
 
Nami nimerudi, mara ya kwanza 'nilichungulia' tu nikaibuka na clip fupi niliyoiweka post ya juu juu.

Safari hii nimerudi na clip yenye zaidi ya dk 60.

Nitaiweka hapa kwa ajili ya kutoa elimu tu na si vinginevyo (for education purpose only)

Ukizamia huko, zama kwa hiyari yako mwenyewe, SINTAHUSIKA NA MADHARA YATAKAYOKUPATA au vinginevyo, 'do it at your own risk'

Ngoja ni upload
 
Nami nimerudi, mara ya kwanza 'nilichungulia' tu nikaibuka na clip fupi niliyoiweka post ya juu juu.

Safari hii nimerudi na clip yenye zaidi ya dk 60.

Nitaiweka hapa kwa ajili ya kutoa elimu tu na si vinginevyo (for education purpose only)

Ukizamia huko, zama kwa hiyari yako mwenyewe, SINTAHUSIKA NA MADHARA YATAKAYOKUPATA au vinginevyo, 'do it at your own risk'

Ngoja ni upload
1469635612805.jpg
 
TUNASHUKURU KWA MIREJESHO KWA WALE WOTE WALOINGIA DEEP WEB.
Nasi tumepata cha kujifunza kupitia Deep Web
Endeleeni kutupa vitu vya uko Deep Web maana mi binafsi naogopa na ndomaana nafutilia kwa yale walozamia uko Deep Web na kujifunza mengi kupitia wako.
NB. Naogopa vitisho navyopewa kuhusu Deep Web na ndo maana sitaki kwenda uko.
Kunguru mwoga Ukimbiza mbawa lake.
 
TUNASHUKURU KWA MIREJESHO KWA WALE WOTE WALOINGIA DEEP WEB.
Nasi tumepata cha kujifunza kupitia Deep Web
Endeleeni kutupa vitu vya uko Deep Web maana mi binafsi naogopa na ndomaana nafutilia kwa yale walozamia uko Deep Web na kujifunza mengi kupitia wako.
NB. Naogopa vitisho navyopewa kuhusu Deep Web na ndo maana sitaki kwenda uko.
Kunguru mwoga Ukimbiza mbawa lake.
Nasikia kuna jamaa aliingia huko deep Web Kasim kakaanza kulia kama mbuzi.. Meeee...
 
Habari naona watu wengi mnahangaika its just simple thing.... deep web unaweza itumia anytime sio lazima uwe na hizo browser na kuna many useful information


But pia kuna black market miaka ya 2011-2012 walifungua online black market ikiitwa silkroad online na huko watu walikuwa wakinunua bidha tofauti kama drugs... weapons... passports and visa... na other services lakini mwishowe FBI wakaifunga na nyengine ilifunguliwa ila 2014 ikafungwa

I heard kuna silk road online 3 now but bado haijafungwa... kuna sellers zaidi ya elfu 10 wanauza service na bidhaa in very black way.... vingine hasa ni illegal porns na other ujinga


So jamaa walitengeneza njia ya kuifikia hiyo site yao ikupitia tor browser ambayo haisave history ya unachofanya na pia ina vpn ndani yake so internet service provider na gov... wanakuwa wanashindwa kukupata muhusika kwa urahisi...
Mkuu umeongelea "illegal porn" ndio zipi hizo
 
Back
Top Bottom