Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Inapatikana pia kwa simu kwa maana ya android users na hata platforms zingine kama wazee wa Nokia na Iphones. Tafuteni maarifa kupitia google mtapata maelezo yote.
 
Nilikuwa muumini wa deepweb sema ni nzuri kwa wasomaji, na watafuta habar na wafanya biashara.

Kuna baadhi ya vi changamoto kama profile za watu wa tz, ni vigumu kumtrace mtu background au mzizi wake ila kwa majuu inakuwa simple kwasababu kule mna kuwa na free databases ambayo unamchimba mtu fully.

Problem ingine ni pesa, kwa vile ni deepweb ukifanya busness mle kurushwa ni pie, na huwezi kulalamika maana ni deep sasa mpk uje ui convinces sheria iwekwako utazua mengine..

Solutions kubwa ni kuifanya iwe known ili iwe na user wa maeneo husika kushare experience...

Uzuri wa hizi sites ni kwamba dvjjnfhvjk
Nimeona hii site http://applecnapoyjxomg.onion/index.php huko darkweb ya online shopping wanasema wanatumia escrow kama payment method,napata ukakasi kama kuna utapeli wowote kwa maana escrow ni trusted midle man wa online payments btn sellers and buyers
 
Sasa hiyo deep web si ndokutakuwa kumejaa mavirus, ma malware, ma trojan na mahackers wa kiwango cha kutisha ?
 
mrejesho kwa walioaccess deep web, nataka jua kunani huko
 
Tushland, post: 21204950, member: 277500"]Ndo narudi Leo tangu nilivoingia deep web, najuuuuuuta jamani, mniombeee[/QUOTE]
mkuu leta ushuhuda kunani huko
 
Modd naomba mnisaidie ku block huu uzi jamaa amecopy na ku paste uzi wangu nilioutoa kwa kufanya uchunguzi wa kina bila kutoa credit.
 
Back
Top Bottom