Jarbuu af utupe feedback
Mi huwa naingia kila siku uko..nacheck vitu vya hatari naenjoy sana..natumia kali linux os na tor browser..asante kwa mleta mada mana nilifanya hii kitu toka nasoma post hii mwaka jana
nimejaribu kuinstall using adroid vyote hapo juu lakini mambo yanagoma kabisa any alternative pleaseJarbuu af utupe feedback
kama unatumia vpn hapo utakuwa sawa ila natumai unatumia vpn za kulipia siyo za kudownload hiziWell ntatest leo, naconnect vpn ili niongeze layer of security, halafu nafire-up tor browser napitia hizo links nione what will happen
Kwa kutumia kifaa gan simu au laptopMi huwa naingia kila siku uko..nacheck vitu vya hatari naenjoy sana..natumia kali linux os na tor browser..asante kwa mleta mada mana nilifanya hii kitu toka nasoma post hii mwaka jana
Mfano wa ulicho kiona ili na sie vilaza tuingieKwa lugha zingine wanasema ni laana ikiwa utaenda huko kina sites zingine zipo zaidi ya wazi niliogopa kuingia zaidi maana nisije kudukuliwa bure nikatumiwa mionzi