Mzee ''mbuzi mzee'' pasipo shaka ni moja ya ndege zinazofanya safari zake DRC, mitaa ya Entebbe-Bunia-Beni, Bunia-Goma-Kisangani, Bukavu-kisangani-Kinshasa. kwa kifupi usafiri wa anga DRC ni hatari zaidi ya unavyoweza kufikiria. kwanza karibu ndege zote zinazofanya safari ndani ya DRC zimechoka hujapata kuona na zinapakia mzigo hakuna kipimo, korido yote huwa imejaa mizigo na mabegi na kama inavyoonekana hapo kwenye picha yako mabegi yanakua juu ya seats, yaan kwa kifupi mzee ni mawazo mno usafiri wa ndege DRC, lakin hakuna jinsi inabidi upande tu hizo ndege zao, maana hakuna barabara DRC kabisa Congo, na kama ni umasikini wa watu DRC imevuka viwango zaidi ya kawaida.