YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Abeeh 😂😂😂Shemejiiiiiiiiiii
Abeeh 😂😂😂Shemejiiiiiiiiiii
Pambania kombe mwanangu, mie napiga bandika bandua, mwaka mimba mwaka mtoto.Tulizaliwa 27 kwa bakhti mbaya 4 walifarik tumebak 23
Na mim hapa ndio wa mwisho kuzaliwa ktk hiyo orodha na ndie ambaye nina watoto wachache ambao ni kumi na moja
Labda nitafikisha25
Wee sema kweli??! Sa itakuwaje? 😂😂😂Ndugu yangu kazi anayo![]()
Umeona hii Cute Wife mwaka mimba mwaka mtoto utaweza mkataba huu 😄Pambania kombe mwanangu, mie napiga bandika bandua, mwaka mimba mwaka mtoto.
Miaka kadhaa mbele 25 watakuwa wametimia.
Unaomba kolaboUmeona hii Cute Wife mwaka mimba mwaka mtoto utaweza mkataba huu![]()
Weeeee unataka kitu iendelee kuwa 👌 sio 😄Nimekua mpemba miye😂😂😂
Hata sehemu za uzazi si zitalegea jamani??
Swali limekosa jibu😂😂Ndugu zake mama, kwasababu baba hana uhakika kama ni wa kwake
Jipigie makofi 😂😂😂😂Weeeee unataka kitu iendelee kuwa 👌 sio 😄
Kizazi umepewa ili ukitumie vyema seeWee sema kweli??! Sa itakuwaje? 😂😂😂
Hahahaaaaaa mama anamjali baba 😄🤣🔥🔥🔥🔥🔥Jipigie makofi 😂😂😂😂
Ebu fanya kama unaibeba mikono kichwani😂😂Hahahaaaaaa mama anamjali baba 😄🤣🔥🔥🔥🔥🔥
Kirikou kalale ntakucharaza bakola 😂😂😂Kizazi umepewa ili ukitumie vyema see
Muone 😂😂😂Hahahaaaaaa mama anamjali baba 😄🤣🔥🔥🔥🔥🔥
Ndugu, mke wangu anapenda kuzaa, changamoto ni namba bora ya kuwasaidia ili waje kumudu maisha yao binafsi, wakati mwingine huwa nawaza hivi nikikatika ghafla(Mungu aepushie mbali) hali ya hawa watoto itakuwaje katika huu ulimwengu uliochanganyikiwa! Huwa nabaki kumuomba Mungu at least aniruhusu niwaone wakiwa watu wazima. I love them so much kiasi kwamba wakiwa vocation na mama yao huwa sitaki wake zaidi ya wiki, wenyewe tu huwa wanamwambia mama yao turudishe kwa baba.Una bahati una mke anapenda kuzaa! We piga mpaka wa kike apatikane...mi mwenyewe ninao wa kike wanne! Lazima nirudi
Safi sana kama umeweza kutengeneza bond na watoto...Ndugu, mke wangu anapenda kuzaa, changamoto ni namba bora ya kuwasaidia ili waje kumudu maisha yao binafsi, wakati mwingine huwa nawaza hivi nikikatika ghafla(Mungu aepushie mbali) hali ya hawa watoto itakuwaje katika huu ulimwengu uliochanganyikiwa! Huwa nabaki kumuomba Mungu at least aniruhusu niwaone wakiwa watu wazima. I love them so much kiasi kwamba wakiwa vocation na mama yao huwa sitaki wake zaidi ya wiki, wenyewe tu huwa wanamwambia mama yao turudishe kwa baba.
hahahaa naja kipenziNjoo shoga angu nakusubiri, hizo nyingine ndo muhimu sana nazitaka![]()
Amewahi kukaba nafasi mkubalie awe shemeji yanguWacha wee!!![]()