Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Umepanga kuzaa watoto wangapi?

Kuna Jamaa anamtazamo wa kusema Nikose hela na Nikose watoto yeye amewekeza kuzaa ..
Ila mzae watoto utakawamudu sio sababu Tu Una mbegu inasikitisha sana uzae watoto hata kuwalisha lishe bora changamoto akiwa shule ya msingi unaanza kuomba kwa ndugu na kuwachukia wasipokusaidia...
Nyuma kidogo anko mmoja sijui alitoa wapi namba yangu mtoto wake wa Kwanza kafaulu form one..
Anapiga simu ishirin Mimi nitafute madaftar, mwingine begi, mwingine viatu, n.k. na bado anaendea kuzaa hapo yeye hajawahi kukusaidia chochote Ila anakuchukia kweli usimposaidia
 
Back
Top Bottom