banalunda
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 231
- 67
Leo jioni majira ya saa moja, maeneo ya mapinga Bagamoyo ilitokea ajali ya pikipiki kugongwa na daladala na kusababisha vifo vya watu watatu, akiwemo Baba yangu mdogo na amefariki palepale, kiukweli it is very sad for us, na tupo kwenye kipindi kigumu sana