Imekaaje hii mtu ameoa wake watatu lakin bado analala kwa mchepuko huku akijua kuwa wake zake hawatafahamu kwasababu mwenye zamu atadhan labda amelala kwa mke mwingine na cku iliyo fuata akaenda kuwauliza wenzie kila mmoja akashangaa kuwa mume wao hakulala kwa nyumba zake bali amechepuka hii ni hatar
Haha! adhabu ya utamuDawa yake akirudi, mnaenda wote atakapokua, mnaweka kambi iwe foursome...... Hadi akojoe upepo
Atakimbia mwenyeweHaha! adhabu ya utamu
Mnaachiana zamu mume mmoja? umetumia akili zako zote ukakosa wa kwako peke yako? Seriously?
Mkuu hapa unagusa IMANI za watu, kuna ambao DINI inaruhusu. Hayo mengine ni matwaka binafsi na huyo mwenye kifua na muda wa kuzunguka nyumba nne. Yataka moyo nayo...
Kwani amezungumzia mchepuko au wake?Hakuna dini hata moja kati ya hizi kubwa zinazojulikana ambazo zinaruhusu MCHEPUKO. Wacha kupotosha watu.
Na akifa watasema nini kimemuua?[emoji12]Hahaa hapo atakomaje
Haya.....Tatizo sio kibamia watu siku hizi wanafyonza Mbunye na Tigo kwa hiyo utamu anaupata kwa njia ya ulimi bibie.
Imekaaje hii mtu ameoa wake watatu lakin bado analala kwa mchepuko huku akijua kuwa wake zake hawatafahamu kwasababu mwenye zamu atadhan labda amelala kwa mke mwingine na cku iliyo fuata akaenda kuwauliza wenzie kila mmoja akashangaa kuwa mume wao hakulala kwa nyumba zake bali amechepuka hii ni hatar