Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,907
Nafikiri huyo bwana hapo juu amezungumzia suala la Mwanamke kuolewa kama mke wa pili ama wa tatu anakubalije?...ndio jamaa akasema hapo anagusa dini za watu (Kwani wengine dini zao zinaruhusu hilo bila tatizo lolote)Hakuna dini wala imani inayoruhusu kuchepuka. Huyo ni mzinzi tu.