Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,501
Teddy Kalonga ni msukuma Pure, Baba na Mama wote ni Wasukuma pure, nadhani ni watu wa Ntuzu zone (Bariadi, Maswa na Magu)
Hapana hatokei Ntuzu huyo. Mimi ndio meya wa Ntuzu na hilo jina sijawahi kulisikia. Kama anadai yeye Mnyantuzu basi Mnyantuzu feki huyo.