PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
- Thread starter
- #21
Kingine wanawake wa Kisukuma sio wabishi wanajua wajibu wao kama mama.
Wanafua kufuli zao na za waume zao si wabishi pale mnapo pangiana majukumu.
Fidel, dont tell me umeoa huko, maana otherwise usingekuwa na details za kiundani namna hii ..Basi hongera Mkuu