Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,430
Habari za mchana wanajamvi? Nina swali kidogo la uzushi.
Ni hivi umemtia mimba mwanafunzi na kosa la kumtia mimba mwanafunzi nchini Tanzania ni kwenda jela miaka 30,baba wa mwanafunzi ameshashtaki na unahitajika mahakamani kwenda kujibu mashtaka.
Kwa kuogopa kwenda jela mzee mzima unakwenda kwa mganga ili akupe dawa ya kutokudi nda.
Siku ya hukumu inafika unapangua kesi kwa kuikataa mimba sio yako kwasababu hudi ndi.
Hakimu anaamuru kesi ihamie chooni kwa kwenda kuhakikisha kwamba kweli hudi ndi,wanaletwa wanawake wenye migongo ya kichina wakiwa u chi wanauchezea uume wako lakini wapi unakataa kusimama.
Hakimu unakuacha huru kwa kuwa hudi ndi kwahiyo huwezi kumpa mwanamke mimba.
Mzee unatoka mahakamani kisutu kwa shangwe,unaamua kwenda kwa mganga ukamshukuru kwa kukusaidia katika kesi yako na pia akakupe dawa ya kuurudisha uume wako kama zamani,kabla hujafika kwa mganga kwa mbaaaaali unaliona turubai nyumbani kwake,unakwenda mpaka unafika nyumbani kwa mganga na kuuliza tatizo nini mbona kuna turubai hapo kwa mganga? unaambiwa ya kuwa MGANGA AMEFARIKI.
JE? INGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE.
Nalog off
Ni hivi umemtia mimba mwanafunzi na kosa la kumtia mimba mwanafunzi nchini Tanzania ni kwenda jela miaka 30,baba wa mwanafunzi ameshashtaki na unahitajika mahakamani kwenda kujibu mashtaka.
Kwa kuogopa kwenda jela mzee mzima unakwenda kwa mganga ili akupe dawa ya kutokudi nda.
Siku ya hukumu inafika unapangua kesi kwa kuikataa mimba sio yako kwasababu hudi ndi.
Hakimu anaamuru kesi ihamie chooni kwa kwenda kuhakikisha kwamba kweli hudi ndi,wanaletwa wanawake wenye migongo ya kichina wakiwa u chi wanauchezea uume wako lakini wapi unakataa kusimama.
Hakimu unakuacha huru kwa kuwa hudi ndi kwahiyo huwezi kumpa mwanamke mimba.
Mzee unatoka mahakamani kisutu kwa shangwe,unaamua kwenda kwa mganga ukamshukuru kwa kukusaidia katika kesi yako na pia akakupe dawa ya kuurudisha uume wako kama zamani,kabla hujafika kwa mganga kwa mbaaaaali unaliona turubai nyumbani kwake,unakwenda mpaka unafika nyumbani kwa mganga na kuuliza tatizo nini mbona kuna turubai hapo kwa mganga? unaambiwa ya kuwa MGANGA AMEFARIKI.
JE? INGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE.
Nalog off