Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,099
Reaction score
12,919
mdada kachukua simu ya mpenzi wake akaibip ili aone mpenzi wake kamsev kwa jina gani. Akajua litatokea jina kama Wife, honey, sweety au mpenzi. Lahaula jina lililotokea Agustino Fundi Majeneza.
 
mdada kachukua simu ya mpenzi wake akaibip ili aone mpenzi wake kamsev kwa jina gani. Akajua litatokea jina kama Wife, honey, sweety au mpenzi. Lahaula jina lililotokea Agustino Fundi Majeneza.

unanikumbusha Aisha wa iringa,kuna siku alikuja gheto na simu ya kakaake,akajibip kwa ku2mia cm yangu,likatokea neno 'kenge' kwenye kioo cha cm!kilichoendelea najua mwenyewe....
 
unanikumbusha Aisha wa iringa,kuna siku alikuja gheto na simu ya kakaake,akajibip kwa ku2mia cm yangu,likatokea neno 'kenge' kwenye kioo cha cm!kilichoendelea najua mwenyewe....

Kilitokea nini?
 
nimemsevu 'low betri' afu na kamlio nimemchagulia kakizushi, then sim ikiita wife akiona huwa ananiwekea kwenye chaja anajua ni kweli low betri kumbe kidosho
 
Da! Umenikuna, juz nilitrace cm ya mpenz wangu nilichokiona wakat inaita ni katuni imekuwa displayed ikiwa haina jina ni namba tu, Niliboreka sana.
 
Mi nimesave kimeo basi wife akiona anajua nadaiwa anaichunia
 
Kwani hata mkijaribu kuficha kwa majina ya ajabu ajabu hivyo mjue tu dunia haina siri lazima siku moja mtaumbuka kama siyo ukimwi utawaumbua
 
Nimejaliwa kitu kimoja katika akili yangu,hata mwanamke nimpende vipi,lazima jina alilopewa na wazazi wake ndo liwe kwenye simu yangu.

Kufake name haina nafasi kwangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom