toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Katika mambo ambayo yanaumiza maisha ya upangajini ni umeme
Asikwambie mtu umeme wa upangajini ni hatari tupu
Yaani mnanunua umeme kila mtu kwa mwezi elfu kumi kumi lakini wapi???bado unaisha tu
Wengine wanachanga elfu 5 tano lakini wapi??
Tuambie changamoto ya umeme wa upangajini unachukuliaje??
Serikali tunaiomba sana iangalie hizi units pls tanesco maana daaah walau basi uje mfumo wa kuwasaidia watu wa nyumba za kupanga walau wapunguziwe mzigo maana wanaonekana mita zao ni kama kiwanda kitu ambacho sio kweli
Kero za upangajini ni umeme wewe unakabiliana nazo vipi?
Asikwambie mtu umeme wa upangajini ni hatari tupu
Yaani mnanunua umeme kila mtu kwa mwezi elfu kumi kumi lakini wapi???bado unaisha tu
Wengine wanachanga elfu 5 tano lakini wapi??
Tuambie changamoto ya umeme wa upangajini unachukuliaje??
Serikali tunaiomba sana iangalie hizi units pls tanesco maana daaah walau basi uje mfumo wa kuwasaidia watu wa nyumba za kupanga walau wapunguziwe mzigo maana wanaonekana mita zao ni kama kiwanda kitu ambacho sio kweli
Kero za upangajini ni umeme wewe unakabiliana nazo vipi?