Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,878
- 1,060
Habari wadau,
Mdau nilikuwa nnaangalia kipindi cha futuhi, kinachorushwa na Star Tv , wamezungumzia swala la umeme vijijini ingawa ni kwa vichekesho lakini nnamimi ujumbe umefika. Wamesema umeme vijijini, nyumba zenyewe za nyasi je watakuwa na sifa za kuwekewa umeme?
Wameongezea kuwa ni bora wapewe kwanza mifuko ya sementi ili waboreshe kwanza makazi yao.
wadau hapa kuna mambo yakujadili
1) makazi duni
2) kumudu gharama za umeme. e.t.c
Je wakazi wa vijijini wameandaliwa kupokea huo umeme ambao serikali inaupigia chapuo
Mdau nilikuwa nnaangalia kipindi cha futuhi, kinachorushwa na Star Tv , wamezungumzia swala la umeme vijijini ingawa ni kwa vichekesho lakini nnamimi ujumbe umefika. Wamesema umeme vijijini, nyumba zenyewe za nyasi je watakuwa na sifa za kuwekewa umeme?
Wameongezea kuwa ni bora wapewe kwanza mifuko ya sementi ili waboreshe kwanza makazi yao.
wadau hapa kuna mambo yakujadili
1) makazi duni
2) kumudu gharama za umeme. e.t.c
Je wakazi wa vijijini wameandaliwa kupokea huo umeme ambao serikali inaupigia chapuo