Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,878
- 1,061
- Thread starter
- #21
Umeme vijijin ni ndoto ya mchana kwa kuwa na yenyeww ni kama ahadi zingine zilizotolewa na serikali hiihi ambazo hazijatekalezwa tangu 2010. Hapo tu nikufunika kombe ili mwanahalam apite.
kwanza wanajichanganya waziri mkuu anasema kodi ya simu ni umeme vijijini, waziri kwenye bajet amesema kodi mpya kwenye mafuta ni ajili ya umeme vijijini





![WAGONJWA_ZAHANATI_KISAKI[1]_.JPG WAGONJWA_ZAHANATI_KISAKI[1]_.JPG](https://www.jamiiforums.com/data/attachments/3174/3174439-553bb2a35746efad021e7daa37688ee6.jpg?hash=VTuyo1dG76)