Nami huku mbagala umekatika hadi mida hii
Bado Dowans hawajalipwa tu? Umeme utarudi wakilipwa.
Majira ya saa sita kasoro usiku maeneo ya hapa k'ndon mkwajun umeme ulikatika,m2 wa mwananyamala akanambia kwake pia umekatika,pia kuna m2 huko moro kasema umekatika,je hapo ulipo wewe umeme upo kwa usiku huu?
Huku Mbagala umerudi saa 8 na dk 1 usiku huuNami huku mbagala umekatika hadi mida hii
umejatika tena saa 8 na dk 56 usiku huuHuku Mbagala umerudi saa 8 na dk 1 usiku huu
Huku morogoro ulikatika baada tu ya mechi za Uefa na umerudi late sana,