- Thread starter
- #61
Umekatika na Dodoma mida hiyo hiyo mara 4 mfululizo katika nafasi ya tkriba dk 10 mpak 20
umeme ni kizaazaa kingne tz!baada ya rushwa!
Umekatika na Dodoma mida hiyo hiyo mara 4 mfululizo katika nafasi ya tkriba dk 10 mpak 20
Wameuchukua huku kwetu just now!
Karibia jiji zima la Dar kwa sasa hamna umeme hadi kwenye makambi ya jeshi jwtz
wewe unaishi tz nzima? ama kuna mtu anaishi tz zima humu?..kwani ni mikoa yote ipo kwenye grid ya taifa mpaka uulize swali kama hilo!
utawaskia TANESCO wakisema NI HITILAFU KWENYE GRIDI YA TAIFA!
Itakuwa kuna mzigo wa magendo ulikuwa unaingizwa
Naungana nawe! Kuna mwananchi alitoka mwenge kuelekea feli, anasema baada ya umeme kukatika barabarani alikuta akali wengi sana na ni usiku mmeme