Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Kabla hawajakata umeme hawa TANESCO comment fasta fasta una maoni gani,unawashauri nini? waurudishe baada ya siku ngpi? friji lako lina nini?
Nimeelewa neno WAMEKATA TENA! hayo mengine nimepata kizunguzungu kuyasoma.watuwekeratibainayoelewemdaambaoumemeutakatwanamdaambaoumemeutarudihaiwezekanihawatanesikowatugeuzesisiwatumwawaumemenihayotumia.
AAAAAHH.....!!WAMEKATA TENA!.
hahahaha!Friji langu nimeligeuza la kuwekea Nguo!
inatakiwa ucomment fasta fasta.miaNimeelewa neno WAMEKATA TENA! hayo mengine nimepata kizunguzungu kuyasoma.
hahahausipoandikafastautakutaawamehakatakablaujamaliza kuandikawatuwekeeratibainayoelewekamdaambaoumemeutakatwanamdaambaoumemeutarudihaiwezekanihawatanescowatugeuzesisiwatumwawaumemenihayotumia.AAAAAHH.....!!WAMEKATA TENA!.
hahahaaa....ivugaaaa...!!kama ulikuwepo.miahahahausipoandikafastautakutaawamehakatakablaujamaliza kuandika
Nimeelewa neno WAMEKATA TENA! hayo mengine nimepata kizunguzungu kuyasoma.
Hahaha...kwetu Msoga. Umeme haukatiki! PoleniYAANI LANGU LILIKUWA LA VIATU SIKU NYIIINGI na hao mende usipime yani utadhani ni zoo
offcourse ikulu haukatikiHahaha...kwetu Msoga. Umeme haukatiki! Poleni
dapretty ..any timeHivi watawasha sangapi? Soon ntapotea hewani