Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,654 13,475 Sep 6, 2012 #2 kweli urembo gharama!!si tu ya mafweza bali pia gharama ya maumivu!!!au anamtekenya!
M markj JF-Expert Member Jul 6, 2012 1,778 685 Sep 6, 2012 #4 Yani haya madudu wanayotumia wadada jamani, yakianza kuleta majibu sasa, ninawasiwasi wadada wengi hawataonekana mjini
Yani haya madudu wanayotumia wadada jamani, yakianza kuleta majibu sasa, ninawasiwasi wadada wengi hawataonekana mjini
Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Sep 6, 2012 #6 Kunta Kinte said: Ulimbukeni tu!! Click to expand... Ni zaidi, ni UPUMBUMBAVU tu; na wengi ni wale ambao wanaWASHWA WASHWA tu!
Kunta Kinte said: Ulimbukeni tu!! Click to expand... Ni zaidi, ni UPUMBUMBAVU tu; na wengi ni wale ambao wanaWASHWA WASHWA tu!
M markj JF-Expert Member Jul 6, 2012 1,778 685 Sep 6, 2012 #7 wanawake bana! yani mshahara wote unaishia hapo tu, afu eti ndo kusiwe na mtandao,subutuuuu
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,943 93,868 Sep 6, 2012 #8 hivi mnajua maumivu ya kuchora tattoo?...jaribu kufikiria uwe unachomwa chomwa na kundi la vipini au visindano mfululizo
hivi mnajua maumivu ya kuchora tattoo?...jaribu kufikiria uwe unachomwa chomwa na kundi la vipini au visindano mfululizo
Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Sep 6, 2012 #9 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Ukitaka uzuri sharti udhurike kweli!!!!!!!
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,943 93,868 Sep 6, 2012 #11 yaani anaweza akauminya mshobobo ndani kwa ndani ukabaki unalia kwa utamu na uchungu
tatanyengo JF-Expert Member Mar 30, 2011 1,134 280 Sep 6, 2012 #12 Anatangaza biashara kwenye hidden market
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,632 68,561 Sep 6, 2012 #13 Urembo unawazidi nguvu wasichana.
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Sep 6, 2012 #14 watu8 said: hivi mnajua maumivu ya kuchora tattoo?...jaribu kufikiria uwe unachomwa chomwa na kundi la vipini au visindano mfululizo Click to expand... Hivi hizo pin/sindano ni disposable? Au huwa wanazi sterilize? Maana naona mchoraji kajikinga kwa gloves wateja je?
watu8 said: hivi mnajua maumivu ya kuchora tattoo?...jaribu kufikiria uwe unachomwa chomwa na kundi la vipini au visindano mfululizo Click to expand... Hivi hizo pin/sindano ni disposable? Au huwa wanazi sterilize? Maana naona mchoraji kajikinga kwa gloves wateja je?
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,416 Sep 7, 2012 #17 huyu atakua muhehe tu huyu...........