Umelazimishwa

Umelazimishwa

551245_491836580843954_1397490321_n.jpg

Bongo tambarale watu wanajiingilia kama wanakwenda maliwatoni sababu ya serikali dhaifu!!
 
Hapa si bongo....utawashika wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo....usijali maana wapo wengi mno..
 
Sio bongo tu ata kwa wazungu haya mambo yapo, sema wanakuja kutudanganya sisi tuache kuwadhibu hivi watoto wetu ndo matokeo yake yanakuwa mabox, wakati watoto wao wanaboreka.
 
Mtoto usipomchapa mwisho wa siku anakua mbulula
 
Shule nyingi makini kiboko ni lazima ili kuwaweka sawa madogo watukutu.
 
Kimsingi sio Bongo, moja ya sababu ni kuwa huwa hatuendeshi gari upande wa kulia
 
inapatikana hoteli gani hii msosi?? naona imenivutia
 
tiba ya kisukari na presha hii jamani! kuleni kwa wingi
 
Back
Top Bottom