Umelazimishwa

526167_466801623354509_1773857104_n.jpg
 
Jk aka sharomagogoni zake ni yooo..yooo...yooo
Au zile za Tatizoo kwetuu Msogaaaaa, mbele shamba nyuma barabaraaaa...yoooo...yooo.yoooooooooooo
 
Hivi hizo pin/sindano ni disposable? Au huwa wanazi sterilize? Maana naona mchoraji kajikinga kwa gloves wateja je?

mmh hata sijui kwa kweli ila nadhani huwa zinatolewa na kuwekwa nyingine...
 
si mnajifanya vidume mara ya kwanza mmemzalisha kwa kumbaka,sasa anajihami mnasema hatari nendeni sasa na vidushelele vyenu.
 
Sasa atakapotaka yeye itabidi aende mitaani kutafuta, maana wasomaji risala hawawezi kupata ujasiri kusogelea mbele ya mtutu huo.
 
Ingewekwa ya JK anacheza mziki ingekua NONGWA,, ooh! hajali watu wanakufa,, yeye anacheza mziki na mkewe tu!!
Mna jema nyie!!!??,, kama lile dude maji linalofanyiwa operesheni,, likiekwa mbele linasema UNANITIA AIBU,, likiwekwa kati OOH! UNANIBANA,, basi kaa nyuma OOH! UNANIDHARAU..... ilimradi kaaaazi kweli kweli
 
Ingewekwa ya JK anacheza mziki ingekua NONGWA,, ooh! hajali watu wanakufa,, yeye anacheza mziki na mkewe tu!!
Mna jema nyie!!!??,, kama lile dude maji linalofanyiwa operesheni,, likiekwa mbele linasema UNANITIA AIBU,, likiwekwa kati OOH! UNANIBANA,, basi kaa nyuma OOH! UNANIDHARAU..... ilimradi kaaaazi kweli kweli

magamba blood
 
Ingewekwa ya JK anacheza mziki ingekua NONGWA,, ooh! hajali watu wanakufa,, yeye anacheza mziki na mkewe tu!!
Mna jema nyie!!!??,, kama lile dude maji linalofanyiwa operesheni,, likiekwa mbele linasema UNANITIA AIBU,, likiwekwa kati OOH! UNANIBANA,, basi kaa nyuma OOH! UNANIDHARAU..... ilimradi kaaaazi kweli kweli

Huyo anayecheza hapo ni Mwanaume baada ya kufanya kazi!! siyo huyo wa kwenu anacheza na kazi hafanyi!! Shame on Him!!
 
Back
Top Bottom