Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,745
- 10,078
Habari zenu wana jukwaa!?
Refer to the heading above!
Binafsi nachukizwa sana na watu hawa wanaojifanya kukosea namba halafu mwisho wa siku mtu anakutaka kimapenzi, tena si kwa staha, unakuta wengine ni by force!
Sielewi inakuaje mpaka haka katabia kanawatokea mpaka watoto wa kike! Yani binti analalamika kwenye simu mpaka huruma!
Sasa tatizo hapa ni kwamba, mtu sikujui na wewe hunijui, inakuwaje u-fall in love kiasi kwamba kama vile ulinifahamu kwa muda mrefu?
By the way, niwapongezeni ninyi ambao mmefanikisha kuwa na wapenzi kwa njia ya kukosea namba!
Refer to the heading above!
Binafsi nachukizwa sana na watu hawa wanaojifanya kukosea namba halafu mwisho wa siku mtu anakutaka kimapenzi, tena si kwa staha, unakuta wengine ni by force!
Sielewi inakuaje mpaka haka katabia kanawatokea mpaka watoto wa kike! Yani binti analalamika kwenye simu mpaka huruma!
Sasa tatizo hapa ni kwamba, mtu sikujui na wewe hunijui, inakuwaje u-fall in love kiasi kwamba kama vile ulinifahamu kwa muda mrefu?
By the way, niwapongezeni ninyi ambao mmefanikisha kuwa na wapenzi kwa njia ya kukosea namba!