pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,644
- 3,018
hata mimi kuna mdada alikoseaga namba....yaani kwa ule ustaarabu wangu tu aliponibeep nikampigia nikamfahamisha kuwa amekosea namba...baada ya dk kadhaa akanibeep tena...nikaongea naye..si alitaka kunijua kidogo...mara eti akaanza kutuma msg za mapenzi...from no where at all... kama JINI vilee
Mi nawataka sana hao wanaokosea namba halafu wanalazimisha mapenzi