mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,207
na mie nina swali hilo hilo
We ni Me au Ke
We ni Me au Ke
We mkali!
Na akikutumia message unafanyaje?
Kuna jamaangu alipata mke kupitia hiyo hiyo wrong no. mtoto bomba na wanaenda mwaka wa 4 saiv kwenye ndoa yao, dah! yani ananfanya na mim nitamani kujaribu wrong no..
dah! hiyo ndio simple kabisa, hiyo msg itafutwa kabla hata ya kusomwa.
Na akikutumia meseji kupitia M-Pesa au Tigo Pesa je?
Mie bwana kuna jitu hivyo hivyo. Likawa limeniganda mpaka basi. Kama miaka 5 iliyopita nikiwa chuo. Mpaka nilikosa raha. Nikajua ni michezo ya chuo, kila nikijaribu kuchunguza wapi.
Siku ya siku akanitumia namba, nikapiga ile namba kumbe ya mchumba wake na alikuwa anamsubiri wapate dinner. Nikamwambia yote kwa uchungu.
Kumbe bwana walikuwa wafunge ndoa the following week...... bi dada akavunja uchumba.
That man swore angenitoa msukule.
Simjui but he really stressed me.
Na akikutumia meseji kupitia M-Pesa au Tigo Pesa je?
Uongo mwingine bana
Kwli kabisa kuna waliopoteza maisha kwa kuhisi wanatafutwa sababu ya mapenzi. Na wengine wamepoteza au kuibiwa vitu vya thamani. Hivyo kuwa mwangalifu kujibu hizo wrong number , wanatumia lugha hiyo ya mapenzi kwa kuwa ni njia rahisi ya kuwanasa wengi."kukosea namba" ni zaidi ya mnavyodhani.. Mjini kuna mipango mingi sana.
embu jaribu usijekutana na mwana jf mwenzio