jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,900
Hadi huruma..huyu atakua sio mzima.Pole sana umetomba mara 2 tu
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi huruma..huyu atakua sio mzima.Pole sana umetomba mara 2 tu
Mkuu niunganishe na mimi kwenye huo mtandao.Hilo la kuacha waganga baki nalo wewe wengine ndio imani zetu kama wewe unavyoenda kutoa sadaka wa manabii.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaaa uwe makin sasa kwasb badae usisema kwanza mpk michubuko ndo upate ukimwiView attachment 2034591
Siasa uwa na mambo meng sana na hakuna mwanasiasa ambae anataka kuchafukaNimejifunza kukiwa na jambo baya serikalini , Samia anasema hausiki nalo. Lakini kukiwa na jambo zuri anajidai na yeye ni sehemu ya waliofanikisha jambo hilo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Maneno kuntu1. Jifunze kusimama mwenyewe itakusaidia katika kutimiza baadhi ya malengo yako katika maisha.
2. Usifanye kitu kwasababu wengi wanakifanya.
3. Usimuamini mtu sana hasa katika biashara na pesa
4. Weka akiba maalum kwaajili ya dharura na nyingine kwaajili ya malengo ya muda mrefu.
5. Ukiwa na malengo usikamie sana kutaka kuyatimiza kwa haraka.
6. Tambua wapi una umuhimu na wapi huna umuhimu itakusaidia kuepuka kujipa umuhimu kwa watu wasiojali uwepo wako.
7. Ishi uhalisia wako hata katika mitandao ya kijamii.
8. Simamia unachokiamini hatakama utabaki kukiamini peke yako.
9. Kila mmoja ana matatizo yake, jifunze kutokuwa mzigo kwa wengine.
10. Maisha ni mafupi, fanya unachopenda na ishi unavyotaka.
11. Jifunze kutunza SIRI.
Yeah uko sahihi sana ila kwang mie nimejarib katka njia zote za waganga na mungu ila upande wa mungu umenipa mafanikio zaidHilo la kuacha waganga baki nalo wewe wengine ndio imani zetu kama wewe unavyoenda kutoa sadaka wa manabii.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ntaifanyia kazi kwa mwaka ujao, kisha ntarejea na jibu, yabidi niongee nao sasa kuna baadhi ya vitu huwa ni sirii hadi muhusika apende kusemaTufanunulie kwann inakuwa hivyoo
Haaaaaa kwahyoo tufe tukiwa na afya mbovu
Sasa yeye Samia kama hataki kuchafuka analalamika nini majukwaani wakati anaowalalamikia wapo chini yake.Siasa uwa na mambo meng sana na hakuna mwanasiasa ambae anataka kuchafuka