Cmfungua
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 381
- 1,051
1) Mie binafsi nimejifunza kusave money
2) Kutomridhisha kila mtu
3) Kufanya kila jambo la maendeo kwa usiri mkubwa
4) Kutokumuamini mtu awe ndugu au rafiki imenisadia sana kupiga hatua
5) Kuongeza vyanzo vingi vya kupata pesa
6) Kuacha umbea sehemu za kazi kwasababu nilirekodiwa maneno yakaenda kwa boss na kushushwa cheo
7) Kuacha kwenda kwa waganga na kumtegemea Mungu na mambo yangu kwenda vizuri kabisa
8) Kuacha kulalamikia wanasiasa kuwa hawajafanya hichi na kujikita katika biashara biashara ndogo ndogo na kujipatia kipato
Tunaweza share pamoja katka mwaka huu ulicho jifunza na kikawa msaada mkubwa kwako
2) Kutomridhisha kila mtu
3) Kufanya kila jambo la maendeo kwa usiri mkubwa
4) Kutokumuamini mtu awe ndugu au rafiki imenisadia sana kupiga hatua
5) Kuongeza vyanzo vingi vya kupata pesa
6) Kuacha umbea sehemu za kazi kwasababu nilirekodiwa maneno yakaenda kwa boss na kushushwa cheo
7) Kuacha kwenda kwa waganga na kumtegemea Mungu na mambo yangu kwenda vizuri kabisa
8) Kuacha kulalamikia wanasiasa kuwa hawajafanya hichi na kujikita katika biashara biashara ndogo ndogo na kujipatia kipato
Tunaweza share pamoja katka mwaka huu ulicho jifunza na kikawa msaada mkubwa kwako