inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,006
- 18,302
Wamanyema mpaka 1960s hapa walikua wanakula watu,Congo sidhani Kama wameacha,Latin America wanakula watuNchi gani hizo?
Ninavyoelewa, viungo vya binadamu huvunwa kimagendo na kuuzwa kwa ajili ya tiba na siyo kwa ajili ya msosi.