mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,447
- 45,143
natakiwa nijiokoe mwenyewe
Hii mbona nilishaifundisha ww ulikuwa wapi?? Umeona tatizo la kudoji kwa boyfriend mpk vipindi vinakupita 😂😂😂😂nilijifunza tu kuwa sina marafiki nina watu wengi nna watu tu nnaojuana nao
One thing nilijifunza about life, you cant control everything. Nyakati ngumu huwa zinapita , but wewe utabaki if ukiwa mvumilivuHabari za muda huu wapendwa.
Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.
Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako.
Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa, lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.
Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.
NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.
Mkuu yalokukuta ww nyakati kama zako yalimkuta ndgu yangu mwaka juzi hvyohvyo na yy alitoka kuoa asikwambie mtuNilipofukuzwa kazini 2017, nilipitia nyakati ngumu sana isitoshe naondolewa hapo kazini nina mwezi moja baada ya mimi kufunga ndoa, niliyaishi maisha ya msoto kwa takribani miaka 4,nimejifunza mengi na niliona rangi halisi ya wanaonizunguka, ila namshukuru Mungu alinipa subra na uvumilivu,kwa hakika sina cha kusema zaidi ya kumshukuru Mungu kwa mara nyingine, wazazi wangu na MKE wangu kwa hakika walikuwa nami bega bega katika nyakati ngumu nilizopitia.
Hard times never last.
💯nilijifunza tu kuwa sina marafiki nina watu wengi nna watu tu nnaojuana nao
yaaaani najuta kudoji sirudiii tenaHii mbona nilishaifundisha ww ulikuwa wapi?? Umeona tatizo la kudoji kwa boyfriend mpk vipindi vinakupita 😂😂😂😂
Hi ni sahihi kabisa kwa 100%Pale unapofikia hatua ya mwisho kabisa ya kukata tamaa juu ya jambo fulani ndipo Mwenyezi Mungu hujifunua na kuonyesha ukuu wake (NJIA).