umefika wakati Tanzania tuache masihara na utani,eti huu ni uwanja wa ndege

Ndugu watanzania tunahitaji serikali ya majimbo ili kuondokana na umasikini. Bilashaka Singida ingekuwa na serikali ya kujitegemea kama jimbo, bilashaka wangekuwa na uwanja mzuri na yao yangekuwa juu kwa ujumla. Lakini kwa sasa kila kitu kinaratibiwa na serikali kuu ya kifisadi. Je ingekuwaje mikoa yote yenye madini kama ingekuwa inajitegemea kwa mapato na uwekezaji ndani mikoa hiyo? Funguka watanzania katiba mpya hiyo yaja!

inatia aibu sana na leo report imetoka tuko ndani ya list ya nchi 41 masikin zaidi kwenye hii duniani,sasa hizo safari za mkuru sijui zinajenga au kubomoa
 
Vya huko vinakidhi ya huko na vya huku vinakidhi ya huku, sasa tatizo la nini iwapo yetu yanatuendea?

wewe unaona sawa? dunia ya sasa mambo ayaend hivo inafaa uone airport za wenzetu kama kuala lumpur,dubai,chicago,indiana,jf kennedy,vya south africa,na sehemu nyingi tu,sisi tunafanya masihara sana kwenye utandawazi
 
Mkuu hivi umewahi kutumia AIR PORT ya jiji la Mwanza na kuona sehemu wanayowekea mizigo ya abiria? Yaani kama una begi safi wao hawajali litatupwa chini sakafuni kwenye kachemba kadogo ili watu wajichagulie wenyewekiasi kwamba sio kila mtu anaweza kuona nani anachukua begi lipi utafikiri ilala soko la nguo za mitumba.
 
Mkuu hivi umewahi kutumia AIR PORT ya jiji la Mwanza na kuona sehemu wanayowekea mizigo ya abiria? Yaani kama una begi safi wao hawajali litatupwa chini sakafuni kwenye kachemba kadogo ili watu wajichagulie wenyewekiasi kwamba sio kila mtu anaweza kuona nani anachukua begi lipi utafikiri ilala soko la nguo za mitumba.

mimi binafsi sipendezwi na viwanja vyetu vya ndege,kuna siku uwanja wa kimataifa wa mwalimu nyerere ulikuwa unavuja maji,mvua ilikuwa inanyesha abiria wanaosubiria ndege ilibid waame ame,wafanyakaz wa uwanja wakaja kuweka ndoo,nilishikwa na bonge la aibu,mbaya zaidi nilikuwa na marafik zangu wa kigeni
 
mimi binafsi sipendezwi na viwanja vyetu vya ndege,kuna siku uwanja wa kimataifa wa mwalimu nyerere ulikuwa unavuja maji,mvua ilikuwa inanyesha abiria wanaosubiria ndege ilibid waame ame,wafanyakaz wa uwanja wakaja kuweka ndoo,nilishikwa na bonge la aibu,mbaya zaidi nilikuwa na marafik zangu wa kigeni
Mkuu hiyo iliwahi kunikuta uwanja huohuo, hata leo ukiangalia paa lao la zege limejaa ramani za kuvuja maji. Tuombe Mungu aepushe maafa lisije kuangukia abiria siku moja.
 
Mkuu hiyo iliwahi kunikuta uwanja huohuo, hata leo ukiangalia paa lao la zege limejaa ramani za kuvuja maji. Tuombe Mungu aepushe maafa lisije kuangukia abiria siku moja.

yani mimi naona aibu sana na kujisikia vibaya sana,sasa jk na watu wake wanasafiri kila siku na wako na furaha kabisa nashindwa kuelewa,na uwanja unapokea pesa ndefu sana kila saa kila siku,wananiuzi sana awa watu
 
yani mimi naona aibu sana na kujisikia vibaya sana,sasa jk na watu wake wanasafiri kila siku na wako na furaha kabisa nashindwa kuelewa,na uwanja unapokea pesa ndefu sana kila saa kila siku,wananiuzi sana awa watu
Mkuu kwani wataona wapi hali hiyo wakati wanatumia VIP.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom