Mwaka bado aujaisha so naweza fanya la maana,Ila paka now cjafanya chochote zaid ya kumtia mimba mke wangu!!
Vipi? Kuna dalili ya usaha nini?
Nimenunua kiwanja nimefungua Duka kubwa la jumla ,nimeachana na boyfriend wangu namwomba mungu aniwezeshe 2016 nijenge nyumba kubwa .
Hongera. Nisaidie kidogo kama umefungua duka la matumizi ya kila siku mtaji ni km sh ngapi? Na mimi nipo najichanga walau kufika April mwakani nilifungue. Nisaidie kujua kianzio nione kama na mm nina uelekeo. Asante.
Mi nshapiga mimba kama nne hvmm namshkuru MUNGU bz nimenunua uwanja mkubwa japo mshahara wangu ni mdogo, pia nimehama kutoka mkoa 1 kwenda mwingne