Umefanya nini toka Januari 2015 hadi Disemba?

Umefanya nini toka Januari 2015 hadi Disemba?

mwakibolo

Senior Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
163
Reaction score
47
mm namshkuru MUNGU bz nimenunua uwanja mkubwa japo mshahara wangu ni mdogo, pia nimehama kutoka mkoa 1 kwenda mwingne
 
manuu Usijipange endelea na plans zako hizo hizo. Kuanza moja ni ngumu. Na ukianza tabia hiyo hutaweza kamwe kutimiza short term goals ambazo ndio zina result long term goals.
 
Last edited by a moderator:
Namshukuru mungu,nimehamia kwangu kinyerezi,nimenuna shamba ekari tano mkuranga napanda ufuta,na nimenunua nyumba ambayo naanza kuifanyie finishing mwakani,pia nimeanza kusoma msc.economics evening.THANKS GOD.
 
namshukuru Mungu nimetimiza ndoto zangu mwaka huu kwa asilimia 90. namwomba mungu anisimamie mwakani nifanye zaidi
 
Namshukuru mungu,nimehamia kwangu kinyerezi,nimenuna shamba ekari tano mkuranga napanda ufuta,na nimenunua nyumba ambayo naanza kuifanyie finishing mwakani,pia nimeanza kusoma msc.economics evening.THANKS GOD.

safi mkubwa umetisha toka uajiriwe una mda gani hvi?
 
Daah! kweli hali bado ngumu,plan zangu zimegoma yaani 49% tu ndiyo nimejisogeza.Naomba Mungu ajalie 2016 malengo yangu kutimia ikiwemo kuongeza shule kidogo.
 
Mwaka bado aujaisha so naweza fanya la maana,Ila paka now cjafanya chochote zaid ya kumtia mimba mke wangu!!
 
Namshukuru mungu,nimehamia kwangu kinyerezi,nimenuna shamba ekari tano mkuranga napanda ufuta,na nimenunua nyumba ambayo naanza kuifanyie finishing mwakani,pia nimeanza kusoma msc.economics evening.THANKS GOD.

Hongera mkuu
 
Nashukuru nimemaliza degree yangu...hope next year nitakuwa na meng ya kusema kama itatokea post kama hii....
 
Mi nimemnyegesha mke wa mtu akanitoa m2 kwa ajili ya kufanya biashara.
 
Back
Top Bottom