hilo tangazo limekosea, hauwezi kuelewa kwa maneno hayo ila walikuwa wanamaanisha:-
hapo walipo kuna ofisi ambayo wanajishughulisha kupanga rangi, katika eneo unalotaka, ila wamekosea hawajaeleza rangi gani ya nyumba au gari kwa sababu huwezi ukawa na biashara ya kupaka rangi za nyumba, magari, kucha, mwili, etc
ila kiswahili kazi kweli kweli jap ni lugha yetu