MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 559
Tofauti ya BIASHARA na SIASA
ikila hasara inaweza buma
wakati SIASA kila mara ukiwa
unangara ujue kuna
kinara anayeunda msafara wa
wanaojituma na
kuchuma kwa kukufanya uwe
imara hapo hasara hakuna
KIDUMU CHAMA CHA MASELA
Ukoloni mambo leo umetupa
uhuru wa bendera
tuone kufuru za wenye hela
TANZANIA ni demu wa mtungo
wanamuiita CHA WOOTE
HANGOVER .. anaikimbia kwa
kupiga mtungi saa zote
Mkubwa anazuga atasolve
matatizo ya nchi yake
na gari bovu.. halisukumwi kwa
kukaa ndani yake
MAENDELEO ni ile
ndoto..MWEZEKAJI ashaipuuza
je Kukaa karibu na moto ni kuuota
au kujiunguza
hakuna UHURU wa kweli (Africa)
msidanganywe na illusion
na daily tunafeli sababu ya
POLITICAL institutions
CIVILIZATION imeadvance sasa
wanatuua economically
hakuna utumwa mbaya kama ule
wa kujiona uko free
Kuusaka ukweli ni sawa na
kumenya kitunguu
kila ganda litakutoa machozi na
utabaki macho juu
Ukishafika kwenye kiini niambie
nini utagundua
zaidi ya mafaili yaliyounganika
utaghairi kuyafunua
Wamejivisha U-NOAH.. SAFINA zao
zikatoboka
Wakajivisha U-MUSSA.. FIMBO zao
hazikugeuka NYOKA
sasa wanaujaribu Umungu mtu
kuamua leo nani atatoka
ikila hasara inaweza buma
wakati SIASA kila mara ukiwa
unangara ujue kuna
kinara anayeunda msafara wa
wanaojituma na
kuchuma kwa kukufanya uwe
imara hapo hasara hakuna
KIDUMU CHAMA CHA MASELA
Ukoloni mambo leo umetupa
uhuru wa bendera
tuone kufuru za wenye hela
TANZANIA ni demu wa mtungo
wanamuiita CHA WOOTE
HANGOVER .. anaikimbia kwa
kupiga mtungi saa zote
Mkubwa anazuga atasolve
matatizo ya nchi yake
na gari bovu.. halisukumwi kwa
kukaa ndani yake
MAENDELEO ni ile
ndoto..MWEZEKAJI ashaipuuza
je Kukaa karibu na moto ni kuuota
au kujiunguza
hakuna UHURU wa kweli (Africa)
msidanganywe na illusion
na daily tunafeli sababu ya
POLITICAL institutions
CIVILIZATION imeadvance sasa
wanatuua economically
hakuna utumwa mbaya kama ule
wa kujiona uko free
Kuusaka ukweli ni sawa na
kumenya kitunguu
kila ganda litakutoa machozi na
utabaki macho juu
Ukishafika kwenye kiini niambie
nini utagundua
zaidi ya mafaili yaliyounganika
utaghairi kuyafunua
Wamejivisha U-NOAH.. SAFINA zao
zikatoboka
Wakajivisha U-MUSSA.. FIMBO zao
hazikugeuka NYOKA
sasa wanaujaribu Umungu mtu
kuamua leo nani atatoka