Umasikini umekithiri mpaka trafiki anachota mafuta kwenye gari lililopata ajali

Umasikini umekithiri mpaka trafiki anachota mafuta kwenye gari lililopata ajali

Njaa, ogopa sana hii kitu. Lol
Nadhani shida kuu ni tamaa ya shortcut. Shughuli salama bado zipo tele licha ya magumu tuliyonayo, ila kwakuwa tunapenda hela za shortcut (kitonga) tutaendelea kuuumia na majanga kama hayo ya moto, utapeli, kamari nk.
 
  • Thanks
Reactions: vnn
Nadhani shida kuu ni tamaa ya shortcut. Shughuli salama bado zipo tele licha ya magumu tuliyonayo, ila kwakuwa tunapenda hela za shortcut (kitonga) tutaendelea kuuumia na majanga kama hayo ya moto, utapeli, kamari nk.
Naunga mkono hoja
 
Oya Muacheni mke wangu basi ajipatie hela ya matumizi🥶mnasema sana

Moderators uzi ufutwe
 
Sasa huyu polisi hajui madhara ya mafuta? Tatizo Jeshi la polisi limeacha kuajili vijana kutoka Jkt wao wanaokota ndugu zao Mitaani
Wanachokijua vizuri ni kushughulika na wapinzani ili ndugu zao waendelee kuneemeka huko juu
 
Kila kitu siku hiz ni cha mama na huu ugumu wa maisha ni wamama au?
 
Tazama jinsi lori la mafuta lilivyopata ajali Igunga mkoani Tabora kisha bila woga wananchi wakaanza kuchota mafuta. Na miongoni mwao yupo trafiki naye akichota mafuta kwenye gari lililopata ajali

Kudadadeki! Umaskini wa Mtanzania huwa unasababisha ujasiri wa kijinga kweli! Moto ulishaua sana! Au inawezekana pia walikubaliana hakuna wa kuwasha sigara!

Lakini mbona kama dereva alikuwa anavuta eksireta, cheche haziwezi kuruka?
 
Back
Top Bottom