Umasikini ni laana, masikini ni kiumbe hatari, masikini ni mtaji wa watawala masikini

Umeandika point mkuu,masikini siku zote huwaza kushindwa tuu,masikin hutaka kila mtu afanane na yeye,masikin ni kiumbe hatar katika dunia hii,wachawi wengi ni masikin,masikin humchukia tajir,mtaji wa tajir ni masikin.
Tatizo kubwa la maskini ni wivu na unafiki. Mara zote utataka aliyepata asipate na kama akipata lazima uweke majungu na fitina.

Nakumbuka hata hapa jf mtu akitaka akianzisha biashara yake kama yule wa ulaya aliyekuwa ana supply vitu, kelvin nani sijui watu walimsema sana kuwa ni tapeli and the like lkn mwisho wa siku ni uongo tu hakuna hata mmoja àliye tapeliwa. Hapa ndio ujue roho ya kimaskin ikoje

Haya mtazamo tena Ontario ama bold wa humu jf watu wanawaponda kwa jitihada zao za kutaka kupambana na maisha na kuwazushia maneno ya uongo.

Tizama mtu kama tYusufu manji yaan watu wanataka Adi awe anapanda nao daladala yaani.ni.roho mbaya mbaya na unafiki tu.

Lkn nasema ukweli utajiri ni Karama, kipaji na sio Kila mtu kaandikiwa kuwa tajiri.

Kuna watu wana mponda Adi Bushiri kwa kumnunulia mwanae Maserati nkajiuliza kwann kituume sisi wakati hayo ni yake na mwanae?

Ukweli maskini ni laana tena mbaya sana, na siku zote kinywa cha maskini hakineni baraka zaid ya laana
 
Inasikitisha sana...

"masikini ni kiumbe mwenye dhambi zaidi hapa duniani"
Kuna ukweli fulani, kwa sababu humfikirisha mambo mabaya, maovu, majungu, wivu na hata chuki bila sababu...

" Masikini hana dhamana, haaminiki popote na yoyote"
Hata psychologically anakuwa hayupo vizuri... Anachowaza ni one mission.. To bring others down an laugh on them...



Cc: mahondaw
Unajua tuanze kuangalia hata kwenye familia zetu ikiwa mko watt zaidi ya mmoja.

Àliye na kitu kwamba uchumi stable ana say zaid kuliko asiye kuwa na kitu. Bahat mbaya zaid ikatokea kuna maamuzi ya kufanya halafu yy akawa kinyume na wengine hata kama lakwake ni sawa wengi watasema hapana hela.yake ndio imeshawishi.
Wale wasio na kitu huishia kumlaan na kumsemeya mabaya tu ndg yao.

Hata kwenye ndoa, ukiwa mmoja wa wanandoa ana kipato kuliko mwingine utashamgaa, Yule asiye na kipato kikubwa atakavyo kuwa analaani na kusema maneno mabaya.

Mara ooh nanyanyasika kisa kipato changu, mara si anayo hela ataacha kufanya hivyo? nk.

Sasa ikiwa kwa.ngazi ya familia ya kipato cha kubadili mboga tuu tunaoneana wivu kiasi hiki sembuse kwa matajiri wanao miliki viwanda nanuchumi.wa.dunia ama.nchi?
 
Back
Top Bottom