Tunkamanin
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 951
- 865
Ngoja nikutafutie zile nyuzi zako za flexible nikuletee humu maana siku hizi umeadimika mkuu....kwa hiyo ninapokupata ndio hapo ñakukabàdhi yale ya mwaka 2012
Hehee ndio dunia hiiWakati sisi matajiri tunatoa misaada , masikini wanakazana kulogana ! Kwa mujibu wa maandiko matakatifu Umasikini ni dhambi mbaya sana .
Unao uhakika kwa hicho unachoamini ?Hapa Mm Sijaelewa Ki2 Hapa Huyo Mnayosema Ni Maskin Amekuwa Maskini Kwakunyonywa Na Mafisadi Wanaokumbatiwa Na Serikali,inakuwaje Tna Awe Na Laana?
Ngonjera zako ni tamu ila awamu hii zitafaa tu kuwa TANZIA kwa matajiri fisadi dhidi ya jamii maskini.Kwanamna yoyote, masikini ni kiumbe mwenye roho mbaya sana duniani, masikini ndie hunena baraka kwa tajiri, lakini laana zake kwa tajiri ni mauti kwake tu.
Masikini wengi weusi hasa wa Tanzania wanaamini umasikini wao umesabanishwa na matajiri, furaha yao kuu nikuona tajiri anafilisiwa au kufilisika.
Kifalasafa masikini hana nafasi mbele ya ufalme wa Mungu, kwa kila lepe, Mungu huwachukia masikini, na hawa masikini ndio wachawi wa dunia hii.
Ni laana kubwa mtu kujisifu kwa umasiki wake au kuuishi na kuutumia umasikini wa watu kumiliki na kutawala.. Mungu hana maagano na masikini abadani hasilani.
Wanenwao wengi ni masikini wa akili na roho zao, hawa ni fimbo ya matajiri na kuni za masikini totoro watamanio Bakheresa awe kama wao sio wao wawe kama Bakheresa.
Laana kubwa ni kuwashusha matajiri wawe masikini ukitaraji uwanja wa masikini utakuwa barabara, katu masikini hawana ngazi za kuwapandisha wawe matajiri. Utajiri sio usomi, utajiri sio madaraka, Hakuna msomi aliyesoma mpaka elimu ya juu kabisa kule nera na akaufikia utajiri....Utajiri ni karama, ni mapaji yake maanani, sawa na huyu mfupi, yule mrefu
Hakuna masikini aliyewahi kutajirika kwa kumchukia tajiri... Kubwa zaidi huambulia mauti. Masikini ndie kiumbe mwenye dhambi zaid hapa duniani. Masikini hana dhamana, haaminiki popote na yoyote. Kumwamini masikini nikutotambua nguvu ya tumbo.
Kinyonge hakitaiona pepo!!!!
Na Yericko Nyerere
View attachment 564505
Umeulizwa, Ben Saanane mmempeleka wapi? JibuHahaa uhatari wangu upo wapi wakati mimi najisomea na kutafakari maandiko ya biblia?
Naaam naaamKuna tajiri mmoja amehodhi akili za maskini waTZ na anazidi kuwaaminisha kuwa umasikini wao umeletwa na matajiri, halafu maskini hao kwa ujinga wao wanashangilia kweli wakiskia tajiri fulani kashushwa. Wamefikia hatua ya kufurahia hata pale wafanyakazi wa umma kunyimwa nyongeza za mishahara kwao ni furaha kwa sababu watalingana. Hayo ndo mawazo ya maskini
Sent using Jamii Forums mobile app