Umasikini ni laana, masikini ni kiumbe hatari, masikini ni mtaji wa watawala masikini

Je anayejinasibu kuwa yupo kwa ajili ya maskini tumchukulieje.
Pia ni vigumu kupata utajiri bila nguvu ya masikini.
Mawalimu alisema ubepari ni unyama. Na Yesu alimwambia tajiri auze Mali zake awape maskini.
Umaskini ni mbaya sana na sehemu kubwa huanzia kwenye ubongo. Ignorance!
Kwa unaondoka kwa kutoa elimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je anayejinasibu kuwa yupo kwa ajili ya maskini tumchukulieje.
Pia ni vigumu kupata utajiri bila nguvu ya masikini.
Mawalimu alisema ubepari ni unyama. Na Yesu alimwambia tajiri auze Mali zake awape maskini.
Umaskini ni mbaya sana na sehemu kubwa huanzia kwenye ubongo. Ignorance!
Kwa unaondoka kwa kutoa elimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mchukulie kama masikini wengine wenye laana
 
umaskini mbaya na ndio kinga ya ccm kuendelea kuongoza, if you want to lead people let them starve, let them get ignorance then forever you will lead. ccm ndo hutumia hiyo janja.
 
Maskini huwa anachuki na tajiri kwasababu anaamini umaskini wake umesababishwa na yeye. Ukipita uswahilini nagari ukapiga honi kwa nia nzuri kabisa utaanza kusikia wakiongea kwanza kagari kenyewe kamkopo
Inasemekana hata vigagula wengi ni masikini , maana yake hata uchawi chanzo chake ni umasikini
 
Kwanamna yoyote, masikini ni kiumbe mwenye roho mbaya sana duniani, masikini ndie hunena baraka kwa tajiri, lakini laana zake kwa tajiri ni mauti kwake tu.

Masikini wengi weusi hasa wa Tanzania wanaamini umasikini wao umesabanishwa na matajiri, furaha yao kuu nikuona tajiri anafilisiwa au kufilisika.

Kifalasafa masikini hana nafasi mbele ya ufalme wa Mungu, kwa kila lepe, Mungu huwachukia masikini, na hawa masikini ndio wachawi wa dunia hii.

Ni laana kubwa mtu kujisifu kwa umasiki wake au kuuishi na kuutumia umasikini wa watu kumiliki na kutawala.. Mungu hana maagano na masikini abadani hasilani.

Wanenwao wengi ni masikini wa akili na roho zao, hawa ni fimbo ya matajiri na kuni za masikini totoro watamanio Bakheresa awe kama wao sio wao wawe kama Bakheresa.

Laana kubwa ni kuwashusha matajiri wawe masikini ukitaraji uwanja wa masikini utakuwa barabara, katu masikini hawana ngazi za kuwapandisha wawe matajiri. Utajiri sio usomi, utajiri sio madaraka, Hakuna msomi aliyesoma mpaka elimu ya juu kabisa kule nera na akaufikia utajiri....Utajiri ni karama, ni mapaji yake maanani, sawa na huyu mfupi, yule mrefu

Hakuna masikini aliyewahi kutajirika kwa kumchukia tajiri... Kubwa zaidi huambulia mauti. Masikini ndie kiumbe mwenye dhambi zaid hapa duniani. Masikini hana dhamana, haaminiki popote na yoyote. Kumwamini masikini nikutotambua nguvu ya tumbo.

Kinyonge hakitaiona pepo!!!!

Na Yericko Nyerere

View attachment 564505
Mkuu Yericko hiyo picha ndio muonekano wa masikini wa kiafrica ?
 
Kwanamna yoyote, masikini ni kiumbe mwenye roho mbaya sana duniani, masikini ndie hunena baraka kwa tajiri, lakini laana zake kwa tajiri ni mauti kwake tu.

Masikini wengi weusi hasa wa Tanzania wanaamini umasikini wao umesabanishwa na matajiri, furaha yao kuu nikuona tajiri anafilisiwa au kufilisika.

Kifalasafa masikini hana nafasi mbele ya ufalme wa Mungu, kwa kila lepe, Mungu huwachukia masikini, na hawa masikini ndio wachawi wa dunia hii.

Ni laana kubwa mtu kujisifu kwa umasiki wake au kuuishi na kuutumia umasikini wa watu kumiliki na kutawala.. Mungu hana maagano na masikini abadani hasilani.

Wanenwao wengi ni masikini wa akili na roho zao, hawa ni fimbo ya matajiri na kuni za masikini totoro watamanio Bakheresa awe kama wao sio wao wawe kama Bakheresa.

Laana kubwa ni kuwashusha matajiri wawe masikini ukitaraji uwanja wa masikini utakuwa barabara, katu masikini hawana ngazi za kuwapandisha wawe matajiri. Utajiri sio usomi, utajiri sio madaraka, Hakuna msomi aliyesoma mpaka elimu ya juu kabisa kule nera na akaufikia utajiri....Utajiri ni karama, ni mapaji yake maanani, sawa na huyu mfupi, yule mrefu

Hakuna masikini aliyewahi kutajirika kwa kumchukia tajiri... Kubwa zaidi huambulia mauti. Masikini ndie kiumbe mwenye dhambi zaid hapa duniani. Masikini hana dhamana, haaminiki popote na yoyote. Kumwamini masikini nikutotambua nguvu ya tumbo.

Kinyonge hakitaiona pepo!!!!

Na Yericko Nyerere

View attachment 564505
Kipengele cha laana hauko sahihi rekebisha hapo
 
Kwanamna yoyote, masikini ni kiumbe mwenye roho mbaya sana duniani, masikini ndie hunena baraka kwa tajiri, lakini laana zake kwa tajiri ni mauti kwake tu.

Masikini wengi weusi hasa wa Tanzania wanaamini umasikini wao umesabanishwa na matajiri, furaha yao kuu nikuona tajiri anafilisiwa au kufilisika.

Kifalasafa masikini hana nafasi mbele ya ufalme wa Mungu, kwa kila lepe, Mungu huwachukia masikini, na hawa masikini ndio wachawi wa dunia hii.

Ni laana kubwa mtu kujisifu kwa umasiki wake au kuuishi na kuutumia umasikini wa watu kumiliki na kutawala.. Mungu hana maagano na masikini abadani hasilani.

Wanenwao wengi ni masikini wa akili na roho zao, hawa ni fimbo ya matajiri na kuni za masikini totoro watamanio Bakheresa awe kama wao sio wao wawe kama Bakheresa.

Laana kubwa ni kuwashusha matajiri wawe masikini ukitaraji uwanja wa masikini utakuwa barabara, katu masikini hawana ngazi za kuwapandisha wawe matajiri. Utajiri sio usomi, utajiri sio madaraka, Hakuna msomi aliyesoma mpaka elimu ya juu kabisa kule nera na akaufikia utajiri....Utajiri ni karama, ni mapaji yake maanani, sawa na huyu mfupi, yule mrefu

Hakuna masikini aliyewahi kutajirika kwa kumchukia tajiri... Kubwa zaidi huambulia mauti. Masikini ndie kiumbe mwenye dhambi zaid hapa duniani. Masikini hana dhamana, haaminiki popote na yoyote. Kumwamini masikini nikutotambua nguvu ya tumbo.

Kinyonge hakitaiona pepo!!!!

Na Yericko Nyerere

View attachment 564505
Ndo maana wanajiita viongozi wa wanyonge. Unyonge ukitoka watamuongoza nani?
 
Kwanamna yoyote, masikini ni kiumbe mwenye roho mbaya sana duniani, masikini ndie hunena baraka kwa tajiri, lakini laana zake kwa tajiri ni mauti kwake tu.

Masikini wengi weusi hasa wa Tanzania wanaamini umasikini wao umesabanishwa na matajiri, furaha yao kuu nikuona tajiri anafilisiwa au kufilisika.

Kifalasafa masikini hana nafasi mbele ya ufalme wa Mungu, kwa kila lepe, Mungu huwachukia masikini, na hawa masikini ndio wachawi wa dunia hii.

Ni laana kubwa mtu kujisifu kwa umasiki wake au kuuishi na kuutumia umasikini wa watu kumiliki na kutawala.. Mungu hana maagano na masikini abadani hasilani.

Wanenwao wengi ni masikini wa akili na roho zao, hawa ni fimbo ya matajiri na kuni za masikini totoro watamanio Bakheresa awe kama wao sio wao wawe kama Bakheresa.

Laana kubwa ni kuwashusha matajiri wawe masikini ukitaraji uwanja wa masikini utakuwa barabara, katu masikini hawana ngazi za kuwapandisha wawe matajiri. Utajiri sio usomi, utajiri sio madaraka, Hakuna msomi aliyesoma mpaka elimu ya juu kabisa kule nera na akaufikia utajiri....Utajiri ni karama, ni mapaji yake maanani, sawa na huyu mfupi, yule mrefu

Hakuna masikini aliyewahi kutajirika kwa kumchukia tajiri... Kubwa zaidi huambulia mauti. Masikini ndie kiumbe mwenye dhambi zaid hapa duniani. Masikini hana dhamana, haaminiki popote na yoyote. Kumwamini masikini nikutotambua nguvu ya tumbo.

Kinyonge hakitaiona pepo!!!!

Na Yericko Nyerere

View attachment 564505
Wewe upo kundi lipi,tajiri au maskini?, tuanzie hapo!
 
Umeandika point mkuu,masikini siku zote huwaza kushindwa tuu,masikin hutaka kila mtu afanane na yeye,masikin ni kiumbe hatar katika dunia hii,wachawi wengi ni masikin,masikin humchukia tajir,mtaji wa tajir ni masikin.
 
FYI umaskin ni laana.
Ayubu alijaribiwa Mungu aliruhusu shetani akala Mali.na watt na afya kasoro roho yake na pale Ayubu alipobaki.katika kumtazama Mungu peke bila.kuning'unika na tena alikuwa jasiri hata kwa rafikize na.mkewe walioko kuwa wanamwambia atweze MUngu basi Mungu alimbatiki mara elfu zaidi kuliko alivyo kuwa mwanzo. Na utajiri wake haujawah kuonekana mpaka leo
Umasikini ni hali ya kushindwa kumudu mahitaji ya muhimu, sio LAANA!

- KANA -
 
Back
Top Bottom