- Thread starter
- #21
hili nalo neno
Nyigana hilo swali alouliza lishajibiwa kwenye vitabu vya biology, ambapo mechanism yake imehusishwa na blood circulation
hili nalo neno
Kwa nini wasabato wana nyoa panki?
hili nalo neno
Kwanini mataahira wote wanafanana duniani, ukimuona wa china kafanana na wa mbagala, wa tandale kwa mtogole ni sawa na wa liverpool uk, au ni mapacha?
kwanini dole gumba la mguuni ni nene na refu kuliko vidole vingine?
kwa nn m2 akifa nyewe na kucha huendelea kuota na kkuwa?
kwanini dole gumba la mguuni ni nene na refu kuliko vidole vingine?