Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,411
- 14,181
- Thread starter
- #261
Naona tuko pamoja kwa Anthony Kreil Ila saivi mie nimeshaachana naye. Mie namuona ni blah blah. He isn't specific what to do kabisa.Anton Kreil ni muingereza. Alienda US kufanya kazi.
Alipoacha akarudi uingereza badae ndo akafungua kampuni yake akaihamishia Singapore.
Huwa anazunguka maeneo mbalimbali kufundisha mf, london, thailand, new york.
Nimekuwa namfuatilia kwa miaka mitatu sasa.
Ila mazew hii kitu Ina safari ndefu Sana. Ni rahisi sana kuishia njiani.
Uko mkoa gani hapa tz wewe Bavaria