Uliye nae sasa ndio wa ndoto yako?

Uliye nae sasa ndio wa ndoto yako?

Ila dada amini hata sisi maboy tunaumia sana unae muhitaji kwadhat kabisa kutoka moyon ukimfata anazingua ila ukimfata yule ambaye unamtaka kwamuda umle alafu baada yamda umpotezee anakubali naanaonesha anakupenda sana so mwisho wasiku ujikuta umezamia ila halikuwa lengo lako toka mwanzo
Kawaida tu.
 
Dah mambo yachura hayo ila kama anaweza mambo yetu yale inatosha, anaweza akawa nachura lakini akawa ajui kubinuka, kuna dem mmoja hivi nilimlaga hana chura ila kwenye mambo yetu yale mashalaah hata cjuagi huyo chura huwa anatokeaga wap kwajinsi anavyojibinuaga nihatar
hISIA TUU MZEE.
 
hakika bado dunia hii ina wale wanaume wa jamii ya SCORPION WA BUGURUNI,,,yaan uko na mtu halafu hujui kama unampenda au laaa...aisee ungekuwa karibu yangu ..hakika ningekuchoma sindano ya usingizi wa milele nisingekuacha mwanaume wa aina yako uendelee kututesa katika hii dunia..
Ni kawaida. Inawezekana yuko confused. nadhani scopioni ni hatari zaidi.
 
Fantasies hubaki kuwa fantasies!
Hakuna duniani mtu anayeweza kuoa mtu wa ndoto zake!
Mambo yale ya mama na mwana...... na wakaishi raha mustarahe, ndio chimbuko la ndoto za ndoa na mahusiano mengi! karibu kila tamaduni, kila jamii zina simulizi za aina hizo, na ndio chimbuko mama linalojenga watu juu ya ndoto za mahusiano!
wapo ambao wamepata, wanaume au wanawake ambao wamewish kutokana na matamanio yao, hilo halina ubishi wapo watu kadhaa wanamshukuru Mungu, ingawa wengi hapa wata refer kwa zile picha za kimaumbile, handsome au beautiful ambavyo pia si kitu absolute, mimi naweza kuona mke wangu kifaa cha maana, lkn kumbe kuna mtu kamtosa kaona demu wa hovyo! ukweli ni kuwa wengi tumeishia kupata wale wanaofit ktk circumstances tulizo nazo!
maisha yanaenda, kitu kinachofit leo si lazima kifit na kesho! mtu anayefit ktk mapenzi si lazima afit ktk uchumi, uzazi na malezi, kujali na kukuthamini etc!
Dot com, msiishi masimulizi, partners wazuri wengi tu wapo, wale wa ktk hadithi subiri ukienda mbinguni, hapa duniani just weka standards zako lakini ukae ukijua vigezo vyako lazima viakisi uhalisia!
 
Kama kweli hivi!!
Ila cha ajabu wanaume ndio wanaongoza kuchepuka.[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Mara nyingi huwa wanaangalia vigezo vya nje mfano tako kubwa ambalo baada ya muda hupungua kwa hiyo wanaamua kulitafuta kwingineko!
 
Back
Top Bottom