Jamani nimepotelewa na Mbwa wangu! Mara ya mwisho nilikua naye maeneo ya Arusha mitaa ya Sakina viwanja vya La Piano Club saa 3 za usiku. Atayemuona tafadhali naomba aniPM ili nimpe contact zangu zawadi nikama nilivyoidhinisha hapo juu na picha yake ni kama mnavyoiona na alikua amevaa hivi hivi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.