Ulisikia wapi?

Ulisikia wapi?

Anaye determine swala la ndoa ni mwanaume, mwanamke yeye ni wa kuolewa tu atake asitake. Sasa waoaji wengi lazima wanajipanga na maisha pamoja na kwamba wamebalehe, maana huwezi kuoa ukaendelea kula ugali wa baba na mama, ukifanya hivyo wewe na mkeo mtakuwa treated sawa na wale wadogo zako, sawa?​
Kuolewa means akazae watoto. Umeshajiuliza kama huyo binti nyonga zake zimekomaa vizuri kuweza kujifungua? Au ukishakojoa wewe hujali umeshamaliza kazi.
Vipi kuhusu kutunza nyumba na mambo mengine ya kifamilia ataweza kuyamudu vizuri.

Naamini unao ndugu wa kike wenye umri wa miaka 14. Unavyowatazama wanaweza kuhimili mikiki ya ndoa na kutunza familia?

Kambi ya Fisi
 
Tatizo lenu nyie ni viumbe dhaifu na nyege zikikunwa sivyo isivyo huwa mnatelekeza mume na kuhamia kwa new mkunaji.

Hapo ndipo pabaya kwenu
Hujawahi kusikia mume katelekeza mke?
Umeshasema tumeumwa na nyege so kwanini nyie muwe free kutafuta solution ya kupunguza ila kwa mwanamke hatakiwi kufanya hivyo avumilie hata kama hakunwi vizuri.

Huoni Kwamba nyie ni wabinafsi
 
Kuolewa means akazae watoto. Umeshajiuliza kama huyo binti nyonga zake zimekomaa vizuri kuweza kujifungua? Au ukishakojoa wewe hujali umeshamaliza kazi.
Vipi kuhusu kutunza nyumba na mambo mengine ya kifamilia ataweza kuyamudu vizuri.

Naamini unao ndugu wa kike wenye umri wa miaka 14. Unavyowatazama wanaweza kuhimili mikiki ya ndoa na kutunza familia?

Kambi ya Fisi
Usiwe na wasiwasi hao wanaoolewa maumbo yao tayari yanakuwa makubwa kuhimili changamoto hizo, katika mswada wa sheria unaoongeza umri wa kuolewa kuwa miaka 18 ni bora wangefanya miaka 16 kwa sababu hata hivyo elimu ya sekondari imepanuliwa kiasi kwamba nafasi ya kwenda sekondari ipo kwa kila mtoto.

Sema nyinyi watoto mliozaliwa na kukulia mjini hamuwezi elewa, zamani ambapo nafasi za kwenda sekondari zilikuwa adimu, wengi wa vijana waliokuwa wanamaliza darasa la saba hasa vijijini option iliyokuwa inafuata ni kuoa na kuolewa na kukabidhiwa shamba la kulima na/au mifugo, umenipata?​
 
Hujawahi kusikia mume katelekeza mke?
Umeshasema tumeumwa na nyege so kwanini nyie muwe free kutafuta solution ya kupunguza ila kwa mwanamke hatakiwi kufanya hivyo avumilie hata kama hakunwi vizuri.

Huoni Kwamba nyie ni wabinafsi
Unapitia hayo maswahibu?
 
Kuolewa means akazae watoto. Umeshajiuliza kama huyo binti nyonga zake zimekomaa vizuri kuweza kujifungua? Au ukishakojoa wewe hujali umeshamaliza kazi.
Vipi kuhusu kutunza nyumba na mambo mengine ya kifamilia ataweza kuyamudu vizuri.

Naamini unao ndugu wa kike wenye umri wa miaka 14. Unavyowatazama wanaweza kuhimili mikiki ya ndoa na kutunza familia?

Kambi ya Fisi
Jibu la nyumisi halijitoshelezi
 
Back
Top Bottom