Ulisikia wapi?

Ulisikia wapi?

Hamna kitu kama hicho acha kujifariji nenda hata hospital kaangali idadi ya watoto wanaozaliwa kwa jinsi...Hata possibility ya kupata mtoto wa kiume ni siku chache sana kuliko wa kike ..
Umetembea hospital ngapi?
 
Hapa inaongelewa idadi ya wanawake walio katika umri au vigezo vya kuolewa kulinganisha na idadi hiyo kwa wanaume.
Zingatia kwamba mwanamke anakuwa tayari kuolewa katika umri wa miaka 14, wakati asilimia kubwa ya wanaume ambao wapo tayari kwa ajili ya kuoa ni wenye umri wa zaidi ya miaka 25, piga hesabu hapo wengi watakuwa ni kundi lipi?​
 
Wanaume nyie watu wa ajabu sana.. Nyege zinawapeleka hovyo hovyo. Kama wale wanaotaka binti wa miaka 14 aolewe, kwa akili ya kawaida inaingia akilini kweli?
Nyege mbaya sana.
Usisahau kuwa nyege ziliumbwa na Mungu, hivyo usizihukumu kuwa ni mbaya.
 
I
Hapa inaongelewa idadi ya wanawake walio katika umri au vigezo vya kuolewa kulinganisha na idadi hiyo kwa wanaume.
Zingatia kwamba mwanamke anakuwa tayari kuolewa katika umri wa miaka 14, wakati asilimia kubwa ya wanaume ambao wapo tayari kwa ajili ya kuoa ni wenye umri wa zaidi ya miaka 25, piga hesabu hapo wengi watakuwa ni kundi lipi?​
to miaka 14 umetoa wapi?
 
Hapa inaongelewa idadi ya wanawake walio katika umri au vigezo vya kuolewa kulinganisha na idadi hiyo kwa wanaume.
Zingatia kwamba mwanamke anakuwa tayari kuolewa katika umri wa miaka 14, wakati asilimia kubwa ya wanaume ambao wapo tayari kwa ajili ya kuoa ni wenye umri wa zaidi ya miaka 25, piga hesabu hapo wengi watakuwa ni kundi lipi?​
Umesema mwanaume anakuwa tayari kuoa akiwa na miaka 25.? Nini kinasababisha asioe akiwa na miaka 14 wakati tayari ameshabehe.?
 
Duh! Leo ndo mara ya kwanza nakutana na habari kuwa wanaume ni wengi kuliko wanawake!

Anyway, hapo mtoa mada toa:
-Mabwabwa;
-Hanithi;
-Wafungwa;
-Vichaa;
-Madomozege/senior bachelors;
-Mapadre;
-Kataa ndoa
-n.k...
 
Umesema mwanaume anakuwa tayari kuoa akiwa na miaka 25.? Nini kinasababisha asioe akiwa na miaka 14 wakati tayari ameshabehe.?
Anaye determine swala la ndoa ni mwanaume, mwanamke yeye ni wa kuolewa tu atake asitake. Sasa waoaji wengi lazima wanajipanga na maisha pamoja na kwamba wamebalehe, maana huwezi kuoa ukaendelea kula ugali wa baba na mama, ukifanya hivyo wewe na mkeo mtakuwa treated sawa na wale wadogo zako, sawa?​
 
Ila nyege za mwanamke zikizidi mnamwita malaya. Ona mlivyo wabinafsi mnajali nyege zenu tu kama vile sie hatujaumbwa na nyege.
Tatizo lenu nyie ni viumbe dhaifu na nyege zikikunwa sivyo isivyo huwa mnatelekeza mume na kuhamia kwa new mkunaji.

Hapo ndipo pabaya kwenu
 
Back
Top Bottom